LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 12, 2017

BULEMBO AMALIZA ZIARA KATIKA WILYA 47 ZA MIKOA SABA, JOTO LAKE LASABABISHA CHADEMA 376 KUTIMKIA CCM

Baada ya Makala hiyo fupi yafuatayo ni matukio katika picha katika ziara ya mwisho wa ziara hiyo ambayo Bulembo aliifanya jana katika Wilaya za Mbogwe na Geita mkoani Geita.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdalah Bulembo akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili ukumbini kuendesha kikao cha Wajumbe wa halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Mbogwemkoani Geita, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za CCM, Mbalozi na Watendaji wa Serikali katika Wilaya hiyo, jana, Juni 10, 2017.
 Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akipokea kadi kutoka kwa mmoja wa wanachama sita wa Chadema, waliotangaza kutahmia CCM wakati wa kikao hicho.
 Stephen Thobias akizungumza baada ya kutangaza kuachana na Chadema na kujiunga na CCM wakati wa kikao hicho
 Nyambina Chacha akizungumza baada ya kutangaza kukihama Chadema na kujiunga na CCM wakati wa kikao hicho
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akionyesha kadi za Chadema baada ya waliokuwa wanachama wa chama hicho kumkabidhi na kuhamia CCM wakati wa kikao hicho. Waliosimama mbele ni wanachama hao baada ya kukabidhiwa kadi za CCM
GEITAđź”˝
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCm Alhaj Abdallah Bulembo akivishwa skavu baada ya kuwasili ofisi ya CCM wilaya ya Geita mkoani Geita, jana.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akienda ukumbini baada ya kuwasili Ofisi ya CCM Wilaya ya Geita mkoani Geita, jana
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiingia ukumbini huku akishangiliwa kwa nderemo.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiwasili meza kuu. Kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzani, mkoa wa Geita, Mbunge wa Bukombe Doto Biteko na kulia ni Mwenyekiti wa Jumuia hiyo Wilaya ya Geita Ahmed Mbaraka na Katibu wa CCM Wilaya ya Geita Muhoja mapande
 Alhaj Bulembo akisaini kitabu cha wageni baada ya kuketi ukumbini
 Mwenyekiti wa umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)  wilaya ya Geita AllyRajabu akihamasisha wakati akisaliia baada ya kutambulishwa kwenye kikao hicho
 Baadhi ya wajumbe wakiwa ukumbini
 Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akisiriki kuapa wakati wanachama wapya waliohamia CCM kutoka Chadema walipokuwa wakiapa na kuungwa mkono na wanachama wote katika kiapo hicho
 Wanachama wapya wa CCM wakiapa
 Wanachama wa CCM wapya wakiapa huku wakiungwa mkono na wanachama wote waliokuwa ukumbini, kula kiapo hicho
 Alhaj Bulembo akimvalisha kofia mmoja wa wanachama hao wapya
 Alhaj Bulembo akiwahoji baadhi ya madiwani kuhusu mahusiano yao ya karibu na mabalozi yalivyo
 Alhaj Abdallah Bulembo akiwa tayari kikabidhi kwa diwani fedha zilizochangwa kwa ajili ya kumsaidia mlemavu mmoja aliyeomba msada wakati wa kikao hicho
 Alhaj Bulembo akikabidhiwa zawadi mwishoni mwa kikao hicho
 Alhaj Bulembo akiagana na baadhi ya wanachama wakati akitoka ukumbini baada ya kikao hicho mjini Geita.
 Alhaj Bulembo akiwa katika Kivuo cha mv Sabasaba tayari kwa safari ya kwenda Mwanza jioni.
 Baadhi ya wandishi wa habari waliokuwa kwenye msafara wa Alhaj Bulembo wakiwa ndani ya Kivuko hicho
 Alhaj Bulembo akiwa ameketi na kiongozi mmoja wa CCM katika kivuko hicho
 Alhaj Bulembo akizungumza jambo na Doto wakiwa kwenye Kivuko hicho
Alhaj Bulembo akitoka kwenye Kivuko hicho mwishoni mwa safari. PICHA: BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages