LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 11, 2017

SHAKA AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI KWA WANAFUNZI NA KUTOA VIFAA VYA UJENZI WA MIRADI MBALI MBALI YA KIMAENDELEO KWA MADIWANI WA KATA 15 JIMBO LA CHALINZE

Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka  akizugumza katika Mkutano wa ndani na Viongozi wa mashina ,tawi ,kata,wenyeviti wa vijiji na kata  pamoja na madiwani wa kata 35 jimbo la Chalinze
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Chalinze akitolea ufafanuzi juu ya Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020
Wananchi pamoja na Viongozi Wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka  wa Tatu Toka kulia akimkabidhi Vifaa Vya Ujenzi Mwenyekiti wa Halmashauri ndg: Said zikatim kwa niaba ya madiwani wa kata 15 wa jimbo la Chalinze ambavyo ni Cement pakiti 2,287 zenye thamani ya 22,013,500/= mabati 633 yenye thamani ya TSH.14,559,00/=fedha taslim 5650000/= na fedha kwa ajili ya usafirishaji kwa maeneo yote 3800,000/= vilivyo tolewa na mbunge wa jimbo la chalize Mhe Ridhwani J Kikwete ikiwa ni ukamilishaji wa miradi ya maendeleo yawananchi iliyoanzishwa katika kata 15 Jimbo la Chalinze
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka wa nne toka kushoto juu ya jengo pamoja na viongozi mbali mbali wa chama na Serikali  akikagua Ujenzi Tank la  maji Shule ya Moreto katika mradi wa maji kwa wanafuzi wa shule hiyo uliogharimu jumla ya Sh milion Hamsini.
 Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akifungua bomba la Maji yanayotoka katika mradi wa maji Tank  la Shule ya Moreto uliogharimu jumla ya Shilingi milion Hamsini
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka akiwatwika Ndo za Maji kichwani Wanafunzi wa Shule ya Moreto  Ilioko kata ya Lugoba Jimbo la Chalinze.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondali Moreto wakiwa wamebebelea ndoo za maji 
(PICHA NA FAHADI SIRAJI)

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages