LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 1, 2017

WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA AWASILI NCHINI NA KUPOKELEWA NA RAIS MHE.DKT. MAGUFULI


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John

Pombe Magufuli akisalimiana na kumpokea mgeni wake Waziri Mkuu wa

Ethiopia Hailemariam Dessalegn mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa

ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal One jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John

Pombe Magufuli akiwa pamoja na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia

Hailemariam Dessalegn mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa

Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal One jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn akipiga

ngoma mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam, Pembeni yake ni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli

akimpigia makofi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John

Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam

Dessalegn wakati nyimbo za mataifa mawili (Tanzania na Ethiopia) zikipigwa

mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius

Nyerere Terminal One jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn akishuka

kwenye jukwaa kwenda kukagua gwaride la Heshma lililoandaliwa kwa ajili

yake.
Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn akikagua

Gwaride la heshma lililoandaliwa kwa ajili yake.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John

Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Waziri Mkuu wa

Ethiopia Hailemariam Dessalegn mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es

Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John

Pombe Magufuli akizungumza na wanahabari mara baada ya kumaliza

mkutano wa pamoja na Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn

aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn akifurahia

jambo wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe

Magufuli alipokuwa akizungumza na Wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn

akizungumza na Wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam mara baada ya

mkutano wake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John

Pombe Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John

Pombe Magufuli akimtambulisha Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John

Kijazi kwa mgeni wake Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn Ikulu

jijini Dar es Salaam.
Shamra shamra zikiendelea wakati wa kuwasili Waziri

Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn katika Uwanja wa ndege wa

Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 2 jijini Dar es Salaam.
Waziri Mkuu wa Ethiopia Hailemariam Dessalegn

akikaribishwa kwa kupewa ua na mtoto Xyleen Mapunda mara baada ya

kuwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal

One jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages