LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 28, 2017

KATIBU WA BUNGE AONGOZA KIKAO CHA UONGOZI LEO MJINI DODOMA

 Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Bunge, Ndg. Chacha Nyakega (aliesimama) akifafanua wakati wa kikao cha Management Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo katika ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.
 Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah (kulia) akiongoza kikao cha Management Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo ukumbi wa Spika Mjini Dodoma.
Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah (katikati) akiongoza kikao cha Management Ofisi ya Bunge kilichofanyika leo ukumbi wa Spika Mjini Dodoma

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages