LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 29, 2017

MAKAMU WA RAIS AWASILI MKOANI TABORA




Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan awasili kijiji cha Mabama wilayani Uyui mkoani Tabora katika uzinduzi wa mradi wa maji utakao wafikia watu zaidi ya elfu 40 katika vijiji 32 mradi huu umedhaminiwa na serikali ya Japan kupitia shirika lake la JICA.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages