LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 22, 2017

UNESCO YOUTH FORUM WAENDESHA SEMINA YA KUWAELEKEZA VIJANA NAMNA YA KUSHIRIKI KATIKA PROGRAMU MBALIMBALI ZA UMOJA WA MATAIFA,CHUO KIKUU CHA BAGAMOYO JIJINI DAR

Bwana Jackson Oganga akiwa anatoa maelezo kwa vijana jinsi ya kupata 'Scholarship' katika zinazotolewa sehemu mbalimbali.
Mwakilishi wa Asasi ya Kiraia  Global Peace Foundation (GPF) Tanzania aliyewakilisha katika Semina hiyo Bi. Anna Mwalongo akielezea kwa kifupi kuhusu Asasi hiyo.
Mshauri wa mambo mbalimbali ya Kijamii na uchumi  Bw. Anthony Luvanda akitoa masomo mbalimbali ya namna vijana wanavyoweza kujikwamua na kujitegemea kwa kufanya shughuli mbalimbali.
Baadhi ya vijana wakiendelea kusikiliza kwa makini mambo mbalimbali katika Semina Hiyo
Bi. Bernice Fernandes akielezea namna alivyopata nafasi ya kwenda kusoma Marekani kupitia 'Scholarship'  na kuwasihi vijana wasikate tamaa kwa kuwa nafasi za kwenda kusoma nje zipo nyingi 
Muandaaji wa Semina hiyo na Mwenyekiti wa UNESCO Youth Forum Bw. Frank Joash akieleza namna ambavyo vijana wanaweza kujiunga katika programu mbalimbali za Umoja wa Mataifa.
Mwakilishi kutoka Raleigh Bi. Alice Norbert akitoa maelezo namna ya vijana ambavyo wanaweza kushiriki shughuli mbalimbali za kujitolea katika Asasi mbalimbali za Kiraia.
Baadhi ya vijana wakiuliza maswali mbalimbali kwa wasemaji
 Picha ya pamoja ya watoa mada mbalimbali Kutoka Kushoto ni Frank Joash,Anthony Luvanda, Evance Exaud,Alice Norbert, Anna Mwalongo, Bernice Fernandes, Nelson Amar na Jackson Ogonga.
 Watoa Mada wakiwa pamoja na Baadhi ya washiriki waliohudhuria Semina hiyo (Picha na Fredy Njeje)

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages