LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 1, 2017

RAIS DK. MAGUFULI AREJEA DAR KUTOKA ADDIS ABABA, ALIKOHUDHURIA MKUTANO WA UMOJA WA AFRIKA (AU)

 Rais Dk. John Magufuli akiwapungia mkono waliomlaki, baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Addis Ababa, Ethiopia, alikohudhuria Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika leo February 1, 2017
MAPOKEZI
 Rais Dk. Jon Magufili akishuka kwenye Ndege, baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Addis Ababa, Ethiopia, alikohudhuria Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika leo February 1, 2017
 Rais Dk John Magufuli akisalimia wafanyakazi wa Uwanja wa Ndege baada ya kushuka kwnye ndege, baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Addis Ababa, Ethiopia, alikohudhuria Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika leo February 1, 2017
 Rais Dk. John Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Addis Ababa, Ethiopia, alikohudhuria Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika leo February 1, 2017. Wengine ni Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na Mkuu wa Jeshi la Polisi Ispekta Jenerali Ernest Mangu
 Rais Dk John Magufuli akimsalimia Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspeta Jenerali Ernest Mangu
 Rais Dk John Magufuli akimsalimia Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza Dkt Juma Malewa, baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Addis Ababa, Ethiopia, alikohudhuria Mkutano wa Kilele wa Wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika leo February 1, 2017. PICHA ZOTE NA IKULU

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages