LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 23, 2017

WANAFUNZI CHUO CHA TUMAINI WAFANYA ZIARA KATIKA HOSPITALI YA PALESTINA, SINZA


 
 Afisa Muuguzi wa Hospitali ya Palestina, Sinza
Aliho Ngerageza (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa wanafunzi wa Shahada ya Mawasiliano ya Umma mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha Tumaini Tawi la Dar  es Salaam (Tudarco), kwa ajili ya wanawake na watoto waliolazwa hospitalini hapo anaekabidhi ni Enock Bwigane  na katikati ni Mhadhiri wa somo hilo katika chuo hicho, Mary Kafyome.
  
 Wanaochangia damu  wa kwanza kushoto ni Marietha Tairo na Ole Kimosa,aliyesimama ni nesi akisaidia kufanikisha zoezi hilo. HABARI NA PICHA ZAIDI/>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages