LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 21, 2017

TRUMP AAHIDI KUIPAISHA MAREKANI KATIKA UBORA WAKE

media
Katika hotuba yake, Donald Trump (Pichani) ameahadi, kama katika kampeni yake ya uchaguzi "kuifanya Marekani kuwa ni nchi yenye nguvu zaidi. "

Donald Trump ameapishwa Jana Ijumaa, Januari 20 akiwa rais 45 wa Marekani katika sherehe iliofanyika katika majengo makuu ya Bunge la Congress, Capitol Hill saa 05:46 saa za Washington (sawa na saa 01:46 jioni saa za Afrika ya Mashariki). Inaendelea/>BOFYA

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages