LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 31, 2016

DRC HAKUJATILIA: WAPINZANI WASEMA MAZUNGUMZO YANALEGALEGA

Wapinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wanasema mazungumzo ya namna Rais Joseph Kabila (pichani) atakavyoondoka madarakani yanalegalega na yamkini yakasambaratika.

Kwa mujibu wa FĂ©lix Tshisekedi mmoja kati ya vinara wa upinzani, pande husika katika mazungumzo hayo zinakaribia kusambaratika kuliko kupata suluhisho.

Jana mazungumzo baina ya serikali na vyama vya upinzani chini ya upatanishi wa Kanisa Katoliki yamefanyika mjini Kinshasa. Jana Alhamisi makasisi wapatanishi walikutana na Rais Kabila pamoja na kiongozi mkongwe wa upinzani Etienne Tshisekedi/KUSOMA ZAIDI>BOFYA HAPA 

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages