LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 28, 2016

MAKADA KUTOKA CHUO CHA VIONGOZI WATENDAJI WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA (CPC) WAFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA CCM MKOA WA DAR ES SALAAM, LEO

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida (kushoto), akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi wa Chama Cha Kikomunisti cha China, Jia Bao, (kulia) kwenye Ofisi Kuu ya CCM mkoa wa Dar es Salaam, leo. Bo ni Mkuu wa msafara wa Makada kutoka chuo hicho ambao wapo nchini kwa ajili ya ziara ya mafunzo. Wapili kushoto ni Mjumbe w NEC Temeke, Phares Magesa, Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk. Pindi Chana, Mkurugenzi wa Uhuru FM, Angel Akilimali na Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Tanga Dk. John Mndolwa
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida (kushoto), akimuonyeska Ilani ya Uchaguzi 2015-20, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi wa Chama Cha Kikomunisti cha China, Jia Bao, (kulia) kwenye Ofisi Kuu ya CCM mkoa wa Dar es Salaam
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida (kushoto), akimkabidhi ilani hiyo ya uchaguzi.
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida (kushoto), akimkabidhi ilani ya CCM, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi wa Chama Cha Kikomunisti cha China, Jia Bao, wakati wa mazungumzo yao kwenye Ofisi Kuu ya CCM mkoa wa Dar es Salaam
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Pindi Chama, akifafanua jambo wakati wa mazungumzo na ujumbe huo kutoka CPC China. Kulia ni Mkurugenzi wa Uhuru FM Angel Akilimali.
 Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Tanga, Dk. John Mndolwa akifafanua jambo wakati wa mazungumzo na ujumbe huo wa China
 Kijana wa CPC kutoka China akisalimia kwa furaha na Kijana kutoka Makao Makuu ya CCM, wakati wa mazungumzo hayo
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida akimkabidhi zawadi ya kitenge, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Maendeleo ya mafunzo katika Chuo Cha Viongozi waandamizi wa Chama Cha Kikomunisti cha China, Jia Bao

 Jia Bao naye akimkabidhi Madabida zawadi ya picha aliyopigwa alipokuwa katika ziara ya Kichama nchini China hivi karibuni



















No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages