LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 11, 2016

MKUU WA WILAYA YA ILALA AENDELEA NA ZIARA YAKE KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI, LEO ATINGA VINGUNGUTI


 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema (Kushoto) akisisitiza jambo wakati alipokuwa akihoji mambo kadhaa kuelewa maendeleo ya mpango wa kampuni ya PMM kuhusu mradi wa kuhamisha wanannchi kwa fidia, ili kupata eneo la shughuli za kampuni hiyo, alipokagua eneo hilo lililopo eneo la Vingunguti, akiwa katika ziara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika eneo la Kata ya Vingunguti, Dar es Salaam, leo. Mkuu huyo wa wilaya ameitaka PMM kuharakisha kulipa fidia wananchi wanaohusika ili waweze kujua hatma yao mapema. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa PMM Deogratius Donard
 Mkurugenzi wa Masoko wa PMM, Deogratius Donard, akimpa maelezo kwa kina, Mkuu wa wilaya ya Ilala Sophia Mjema kuhusu eneo ambalo kampuni hiyo inakusudia kufanya uwekezaji katika shughuli zake, Mkuu huyo wa wilaya alipotembelea eneo hilo la Uwekezaji lililopo Vingunguti, Dar es Salaam leo
 Mkurugenzi wa Masoko wa PMM Deogratius Donard akiendelea kumpa maelezo mkuu wa Wilaya
 Sehemu ya eneo ambalo Kampuni ya PMM inataka kufanya uwekezaji ambalo PMM inataka kufanya uwekezaji kwa kuwahamisha kwa malipo wananchi katika eneo la Vingunguti, Dar es Salaam.
 Mkuu wa wilaya ya Ujumbe wake wakiwa na Viongozi wa kampuni ya PMM baada ya kumaliza ziara katika kampuni hiyo leo
 Picha ya Muasisi wa Kampuni ya PMM ikiwa imewekwa pamoja na Muasisi wa Taifa la Tanzania, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, kumuezi


ZAHANATI YA VINGUNGUTI 
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akipata maelezo kuhusu utendaji kazi wa Zahanati ya Vingunguti, alipokagua Zahanati hiyo leo. Kulia ni Mganga Mkuu wa Zahanati hiyo Chiku Simba. Kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo
 Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo leo
  Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo leo
  Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo leo
  Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na baadhi wa wagonjwa waliokuwa wakisubiri kupatiwa huduma katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo leo
  Mkuu wa Wilaya Sophia Mjema akizungumza na mfanyakazi katika chumba cha maabara katika zahanati ya Vingunguti alipotembelea Zahanati hiyo leo
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema akienda kukagua wodi ya Wazazi katika Zahanati hiyo
 Mkuu wa wialaya ya Ilala Sophia Mjema akimpa maelekezo Mganga Mkuu wa Zahanati hiyo
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema akitazama mtoto wa kike aliyezaliwajana katika Zahanati ya Vingunguti alipokagua Zahanati hiyo leo
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema akimpa pole mama aliyelezwa katika wodi ya Wazazi katika Zahanati ya Vingunguti alipokagua Zahanati hiyo leo
 Mkuu wa Wilaya akiagana na Mganga Mkuu wa hospitali hiyo baada ya ziara yake
 Watendaji katika Wilaya ya Ilala wakimuaga Mganaga Mkuu wa Zahanati ya Vingunguti.


OK PLAST LIMITED...
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya OK Plast Limited, Vingunguti, Dar es Salaam, Fadl Gadal, alipotembelea kiwanda cha Kampuni hiyo leo, akiwa katika ziara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya OK Plast Limited, Vingunguti, Dar es Salaam, Fadl Gadal, alipotembelea kiwanda cha Kampuni hiyo leo, akiwa katika ziara ya kusikiliza na kutatua kero za wananchi. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages