LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 23, 2016

CCM YASHINDA UMEYA KINONDONI DAR ES SALAAM, LEO

Meya mpya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Samwel Sitta akiongoza kikao cha madiwani wa Manispaa hiyo baada ya kuchaguliwa leo katika u haguzi ambao amepita kwa kishindo

Meya wa Kinondoni Benjamin Sitaa akiwa na Naibu Meya wake na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Ramadhan Madabida baada ya kushinda katika uchaguzi uliofanyika leo

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages