LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 12, 2016

WAZIRI NAPE AKABIDHIWA RASMI MAGETI YANAYOTUMIA MASHINE ZA TIKETI ZA KIELETRONIKI, UWANJA WA TAIFA, DAR ES SALAAM

 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiingiza kadi  katika moja ya geti linalotumia mfumo wa mashine za tiketi za kieletroniki tayari kuingia katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akipita katika moja ya geti linalotumia mfumo wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam Septemba 11, 2016.
 Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza na watendaji wa  Wizara yake, wadau wa michezo, wanamichezo na wanahabari mara baada ya kukabidhiwa na kuzindua rasmi mageti yanayotumia mfumo wa mashine za tiketi za kieletroniki katika Uwanja huo/PICHA ZAIDI>>BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages