LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 8, 2016

NUKUU ZA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI-04

Na Nassir Bakari

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, ni kiongozi ambaye watanzania tulikuwa tunamsubiri kwa muda mrefu.Mara nyingi anapohutubia huwa anatoa kauli za kufurahisha kwa wapenda maendeleo na kuchukiza wasiopenda maendeleo.
Mtandao huu unakuletea Nukuu za Rais, ambazo zinafurahisha wengi na kuchukiza wachache.





NUKUU

"Nataka niwaeleze ndugu zangu, serikali hii ya awamu ya tano ipo pamoja nanyinyi, haitowatupa wala haitowabagua, haitowabagua kwa dini zenu haitowabagua kwa makabila yenu na kamwe haitowabagua kwa sababu ya vyama vyenu."

MAANA YAKE

Serikali ipo kwa ajili ya kutenda haki kwa raia wote bila kujali dini, kabila au vyama.

Maneno hayo alisema Magomeni, alipowatembelea wakazi waliokuwa wakiishi magomeni kota. Jumanne,06 Septemba, 2016. 

MUANDAAJI. NASSIR BAKARI
OFISI NDOGO ZA CCM
LUMUMBA 
EMAIL: nassiribakari@gmail.com



No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages