LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 8, 2016

NHC YAMCHOMOA MPANGAJI WAKE MWINGINE KWA KUDAIWA MILIONI 96

nh2
Wafanyakazi wa Kampuni ya Kimbembe Auction Mart wakitoa Samani za kampuni ya Centre Point Limited Mpangaji wa Shirika la Numba NHC Katika nyumba Plot Namba 2008/93 iliyopo Mtaa wa Indira Ghandhi jijini Dar es salaam kwa kushindwa kulipa kodi ya pango kiasi cha shilingi Milioni 96, tukio hilo limefanyika leo asubuhi.
nh3
Wafanyakazi wa Kampuni ya Kimbembe Auction Mart wakitoa Samani za kampuni ya Centre Point Limited Mpangaji wa Shirika la Numba NHC Katika nyumba Plot Namba 2008/93 iliyopo Mtaa wa Indira Ghandhi jijini Dar es salaam
nh4
Vitu mbalimbali vikitolewa ndani vikiwemo viti.
nh5
Baadhi ya vifaa mbalimbali vya kampuni hiyo vikiwa tayari vimetolewa nje.
nh7
Mmoja wa wanafamilia ambaye hakutaka jina lake litajwe akishuhudia tukio hilo wakati wafanyakazi hao wakiendelea kutoa vitu mbalimbali katika nyumba hiyo.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages