LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 4, 2016

MSEMAJI WA CCM, OLE SENDEKA AFANYA ZIARA KUKAGUA NA KUIMARISHA UHAI WA CHAMA WILAYANI KILWA MKOANI LINDI LEO

Kijana wa Umoja wa Vijana wa CCM, Kibibi Duka akimvalisha skafu Msemaji wa CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Christopher Ole Sendeka, alipowasili Ofisi ya CCM y Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama wilayani humo leo.
Kijana wa Umoja wa Vijana wa CCM, Ali Njonzi akitokwa na jasho jembemba wakati wa Vijana wa umoja huo walipokuwa wakimpokea msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka katika Ofisi ya CCM wilaya ya Kilwa leo akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama
Msemaji wa CCM, Cheristopher Ole Sendeka akimsalimia Katibu wa CCM Wilaya ya Liwale Raphael Maumba, alipokuwa akisalimia viongozi mbalimbali wa CCM mkoa wa Lindi, baada ya kuwasili ofisi ya CCM wilaya ya Kilwa leo akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa akimuongoza Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka kuingia Ofisi ya CCM wilaya ya Kilwa, alipowasili akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama leo
Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili Ofisi ya CCM wilaya ya Kilwa, akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarsiha uhai wa Chama wilayani humo leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa
Baadhi ya wageni waliofuatana na semaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka wakiwa ukumbi wa Ofisi ya CCM, wakati Sendeka alipokuwa akizungumza na baadhi ya viongozi wa CCM wilaya ya Kilwa mkoani Lindi leo.
Katibu wa CCM mkoa wa Lindi Adelina Geffi akisoma taarifa ya Chama, Msemaji wa CCM alipowasili Ofisi ya CCM wilaya ya Kilwa mkoani humo leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa huo wa Lindi Ali Mtopa.


Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka akizungumza na viongozi wa CCM, alipowasili katika Ofisi ya CCM wilaya ya Kilwa mkoani Lindi leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa.
Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka akiselebuka na Vijana wa Umoja wa Vijana wa CCM waliofika kumpokea katika Ofisi ya CCm wilaya ya Kilwa mkoani Lindi leo kukagua na kuimarisha uhai wa Chama
Wazee wa Kilwa mkoani Lindi wakimpokea kwa shamrashamra Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka, alipowasili katika ukumbi wa Hall Fair, kuzungumza nao leo akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama wilayani Kilwa mkoani Lindi
Wazee wa Kilwa mkoani Lindi wakimpokea kwa shamrashamra Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka, alipowasili katika ukumbi wa Hall Fair, kuzungumza nao leo akiwa katika ziara ya kukagua na kuimarisha uhai wa Chama wilayani Kilwa mkoani Lindi
Mwenyekiti wa Wazee wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, Mohammed Msinjepi akimkaribisha Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka (katikati), kuzungumza na wazee wa wilaya ya Kilwa, katika ukumbi wa Hall Fair leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa.
Hakim Mstaafu Mzee Zuberi Liengama akisoma risala, kabla ya Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka kuzungumza na wazee wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi leo
Hakim Mstaafu Mzee Zuberi Liengama akimkabidhi risala baada ya kuisoma, kabla ya Msemaji wa CCM Christopher Ole Sendeka kuzungumza na wazee wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi leo
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Ali Mtopa akimtambulisha kwa wazee wa wilaya ya Kilwa, Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka, leo katika Ukumbi wa Hall Fair
Msemaji wa CCM, Cheristopher Ole Sendeka akizungumza na Wazee wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi alipokuwatana nao katika ukumbi wa Hall Fair, wilayani humo leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages