LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 24, 2016

WAZIRI NAPE AWATAKA WASANII KUFANYA KAZI ZENYE UBORA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akipiga gitaa kwenye sherehe za uzinduzi wa Chaneli 294 itakayokuwa inapatikana kwenye king'amuzi cha DSTV.
Waziri Nape aliwataka wasanii nchini kufanya kazi zenye ubora kwani zitaangaliwa na mataifa zaidi ya 11.
  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na wasanii wa tasnia ya filamu Tanzania walipokutana kwenye uzinduzi chaneli 294 ya Clouds itakayo patikana kwenye DSTV.


BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages