LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 17, 2015

SPIKA WA BUNGE LA 11 NI JOB NDUGAI

  • Ashinda kura kwa asilimia 70
 Ndugu Job Ndugai amechaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushinda kura 254, Katika uchaguzi ambao wapiga kura walikuwa 365 zilizoharibika kura 2. .

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages