LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 23, 2015

MAGUFULI ALIVYOISIMAMISHA GEITA





Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa Karangalala tayari kuhutubia wakazi wa Geita mjini.

 Umati ukiwa umefurika kumsikiliza mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye uwanja wa Karangalala,Geita mjini.
 Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Geita mjini kwenye uwanja wa Karangalala ambapo aliwaeleza wakazi wa mji huo kuwa atahakikisha viwanda vinajengwa , wacimbaji wadogo wadogo wanapata maeneo ya kuchimba, ataboresha maslahi ya wafanyakazi , kuhakikisha madawa na huduma za afya zinakuwa bora zaidi na elimu bure kuanzia shule za msingi mpaka kidato cha nne.
 Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati wa mkutano wake wa kampeni.

Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimtambulisha mgombea ubunge wa Jimbo la Geita mjini Ndugu Costantine John Kanyansu kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika viwanja vya Karangalala mjini Geita.
 Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakiwa jukwaani na wanachama waliohamia CCM.
 Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa jukwaani wakati Mwana F.A akitumbuiza kwenye mkutano wa kampeni za CCM mjini Geita.
 Wasanii wa Bongo flava wakipiga push up kumuunga mkono Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulikwenye uwanja wa Karangalala.
 Mabango ya Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli yakiwa yametanda kila kona ya mji wa Geita.


 Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Ndugu Joseph Musukuma pamoja na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Dk. Anthony Diallo kabla ya kuanza kuhutubia wakazi wa mji wa geita waliofurika kwenye uwanja wa Karangalala.
 Burudani kutoka kikundi cha Geita zilivutia sana.

 Yamoto Bendi wakitumbuiza kwenye mkutano wa Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli,Geita mjini.

 Mgombea ubunge wa jimbo la Shinyanga mjini Ndugu Stephen Massele akihutubia wakazi wa Geita mjini kwenye mkutano wa kumnadi Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Mgombea ubunge wa Jimbo la Shinyanga mjini Ndugu Stephen Massele akihutubia wakazi wa Geita mjini ambao aliwahimiza wananchi hao kumpigia kura Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufulina wabunge na madiwani wote kutoka CCM.
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaji Abdallah Bulembo akihutubia wakazi wa Geita kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiondoka uwanjani mara baada ya kumaliza kuhutubia wakazi wa Geita mjini.
 Mgombea wa urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaaga wapenzi na mashabikia wa CCM walioitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni za CCM.
Vijana wakiondolewa uwanjani na polisi baada ya kubainika wanaleta fujo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages