LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 28, 2015

"TATIZO KUBWA LA MAGUFULI NI KUTENDA ANACHO AHIDI"

  • Awaambia tatizo kubwa utenda anachoahidi
  • Anachukia sana ufisadi
  • Asema Baraza lake la Mawaziri litafanya kazi usiku na mchana
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Mbalizi kwenye mkutano uiofanyika kwenye stendi ya basi ambapo aliwaambia wananchi wa Mbalizi kumpa kura zote yeye na kuwapa kura wabunge na madiwani wa CCM ili aweze kufanya nao kazi kwa ufanisi.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakihutubia wakazi wa Mbalizi na kuendelea kusisitiza elimu itakuwa bure kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne,kuongeza maslahi ya walimu pamoja na polisi.


 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwaimbisha wananchi wa Mbalizi wakati wa mkutano wake wa kampeni uliofanyika  Mbalizi mkoani Mbeya.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo wakati akihutubia wakazi wa Mbalizi mkoani Mbeya.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakiomba kura kwa wakazi wa Mbalizi na kuwaahidi utumishi uliotukuka
 Umati wa wakazi wa Mbalizi ukimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli(kushoto) akiwa ameinua mikono juu kama ishara ya umoja ni ushindi pamoja na Mchungaji Lackson Mwanjali (katikati) na mgombea wa ubunge wa jimbo la Mbalizi Ndugu Oran Njeza, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika stendi ya Mbalizi.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia mara baada ya kumkabidhi mgombea wa ubunge kupitia CCM jimbo la Mbalizi Ndugu Oran Njeza
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwapa mkono wagombea udiwani wa kata zilizopo katika Jimbo la Mbalizi mkoani Mbeya.
 Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi wa Mbalizi mkoani Mbeya wakifurahia jambo wakati wa mkutano wa kampeni uliokuwa uihutubiwa na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli












 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kwenye mkutano wake wa kampeni za Urais kwenye viwanja vya stendi ya basi Mbalizi.
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Mhe. Godfrey Zambi akizungumza na Waziri wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe. William Lukuvi kwenye mkutano wa kampeni za CCM Mbalizi mkoani Mbeya.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kwa wakazi wa Mbalizi kwenye mkutano wake wa kampeni.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakisalimiana na wakazi wa kijiji cha iseche waliojitokeza kwa wingi barabarani kumsalimu.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mkwajuni wakati akiwasili kwenye uwanja wa mkutano.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli(kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Songwe wilaya ya Chunya Ndugu Philipo Mulugo kwenye mkutano wa  kampeni Mkwajuni.
 Wananchi wa Mkwajuni wilayani Chunya, wakiwa na vipeperushi vinavyoonyesha kura ya ndio kwa Mbunge na Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Mhe. Godfrey Zambi akihutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni za CCM Mkajuni wilayani Chunya.
 Mwananchi wa Mkwajuni akisoma maelezo yaliopo kwenye kipeperushi cha wagombea wa CCM.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo mara baada ya kumkabidhi ilani ya uchaguzi mgombea ubunge wa jimbo la Songwe Ndugu. Philipo Mulugo
 Dk. Mary Mwanjelwa akionekana mwenye furaha  wakati wa mkutano wa kampeni za CCM Mkwajuni ukiendelea.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwatambuisha kwa wananchi Mhe. Wiliam Lukuvi pamoja na Dk. Mary Mwanjelwa,kulia ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Abbas Kandoro.
 Wananchi wa Makongorosi wakiwa wamejipanga barabarani kumpokea Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli
 Mwananchi akionyesha kadi yake ya Chama na kitambulisho cha kupigia kura kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Makongorosi.


 Wananchi wa Makongorosi wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli
Wakazi wa Wilaya ya Chunya wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo Mgombea wa Urais kupitia CCM alisisitiza kuwa anacho ahidi utekelezwa.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages