LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 23, 2015

NI ZAIDI YA MAFURIKO JANGWANI LEO

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojitokeza kwa wingi kwenye uzinduzi wa kampeni kwenye viwanja vya Jangwani.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha
 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 -2020
 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi mgombea mwenza Samia Suluhu Hassan ilani ya uchaguzi ya CCM kwenye uzinduzi wa kampeni uliofanyika viwanja vya Jangwani.
 Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dk. John Pombe Magufuli pamoja na mgombea mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan wakionyesha Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2015-2020  katikati ni Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ambaye ndiye aliwakabidhi ilani hiyo kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM Jangwani.
 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikweteakizungumza baada ya kukabidhi ilani kwa mgombea wa CCM
 Umati wa wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM Jangwani.


  Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia umati wa wakazi wa jiji la Dar es salaam waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Jangwani.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye akiwasalimu wakazi wa jiji la Dar es salaam waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni kwenye viwanja vya Jangwani jijini Dar es salaam.


 Hii ndio CCM
 TOT wakitoa burudani kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM jijini Dar es Salaam.

 Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(kulia) akiwa pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM jijini Dar es Salaam.
 Wasanii wa bongo wakiwa jukwaani.





BOFA HAPA KWA PICHA ZAIDI

9 comments:

  1. Now I am going away to do my breakfast, afterward having my
    breakfast coming over again to read more news.

    ReplyDelete
  2. I'm now not certain the place you are getting your
    information, however good topic. I needs to spend a while learning
    much more or working out more. Thank you for wonderful info I was on the lookout for this
    info for my mission.

    ReplyDelete
  3. I have been exploring for a little for any high quality articles or weblog posts in this sort
    of area . Exploring in Yahoo I eventually stumbled upon this
    website. Studying this information So i am happy to exhibit that
    I've an incredibly excellent uncanny feeling I came upon exactly what
    I needed. I most no doubt will make certain to don?t fail to
    remember this site and give it a glance on a constant basis.

    ReplyDelete
  4. always i used to read smaller content which also clear
    their motive, and that is also happening with this post which I am reading now.

    ReplyDelete
  5. great publish, very informative. I'm wondering why the opposite specialists of this sector
    don't realize this. You must proceed your writing.
    I am confident, you've a huge readers' base already!

    ReplyDelete
  6. Hmm is anyone else encountering problems with the images on this blog loading?
    I'm trying to find out if its a problem on my end or if it's the blog.
    Any responses would be greatly appreciated.

    ReplyDelete
  7. Great beat ! I would like to apprentice while you amend your site, how can i subscribe for a blog web
    site? The account helped me a acceptable deal. I had been a little bit acquainted of this your broadcast offered bright clear
    concept

    ReplyDelete
  8. Hello friends, pleasant piece of writing and good arguments commented at this place,
    I am actually enjoying by these.

    ReplyDelete
  9. Regards for this marvellous post, I am glad I found this internet ssite on yahoo.

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages