LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 23, 2015

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM YAKAMILIKA JANGWANI



 Chama Cha Mapinduzi kinazindua rasmi kampeni zake leo kwenye viwanja vya Jangwani ambapo Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan atakabidhiwa ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 - 2020.


 Maandalizi ya mwisho wa Jukwaa la kuhutubia.







1 comment:

  1. Nimeipenda sana hiyo kwani watu watambua tofauti kati mama mzazi na mama wa kambo, ccm ndio chama wengine watafuata nyuma. halambee! halambee! mama halambee! ccm tuwalete tuwakumbatie tuwabusu, ila wakimbizi yao makambi tu!

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages