LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 20, 2015

INNOCENT MELLECK SHIRIMA ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA VUNJO




Mgombea wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shirima akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kufika ofisi za msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo hilo ambaye ni mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi.
Mgombea Ubunge jimbo la Vunjo ,Innocent Shirima akikabidhiwa fomu za kuwania ubunge katika jimbo la hilo na msiamizi wa Uchaguzi ,Furgence Mponji ambaye pia ni mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.
Mgombra Ubunge wa jimbo la unjo kupitia chama cha Mapinduzi,Innocent Shirima akionesha fomu zake za kuwania Ubunge katika jimbo hilo.
Mgombea Ubunge katika jimbo la Vunjo,Innocent Shrima akiwa na makada waliomsindikiza wakatialipofika ofisi za msimamizi wa uchaguzi kwa ajili ya kuchukua fomu.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Knada ya Kaskazini.

1 comment:

  1. Whats up this is kinda of off topic but I waas wahting to
    know iif blogs use WYSIWYG ediutors or if you have to manually code with HTML.
    I'm starting a blog soon but have no coding know-how so I wanted to get advice from omeone with experience.
    Any help would be greatly appreciated!

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages