LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 4, 2015

MKURUGENZI WA BODI YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA, SUBIRA MCHUMO AHAMASIKA NA KASI YA UJENZI WA NYUMBA


Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akielekeza jambo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara ambapo pamoja na mambo mengine amesifu kasi ya ujezi wa nyumba hizo unaozingatia viwango na muda na akawataka wafanyakazi wa NHC kuchapa kazi ili kufikia malengo yao waliyojiwekea. Kulia ni Mkurugenzi wa Fedha wa NHC, Felix Maagi, wa pili ni Eliaisa Keenja wa NHC, Meneja wa NHC mkoa wa Mtwara, Joseph John na Injinia wa mradi huo Leonard Kazoba.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Baadhi ya Nyumba za gharama nafuu Masasi zilizoko mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akitoa maelekezo kwa menejimenti na wafanyakazi wa Shirika hilo wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akimsikiliza Mhandisi wa mradi huo Leonard Kazoba wakati wa ziara yake aliyoifanya kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Masasi, mkoani Mtwara.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake katika mradi wa nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake katika mradi wa nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mkurugenzi wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, Subira Mchumo akiendelea na ziara yake katika mradi wa nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mojawapo ya majengo katika nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mojawapo ya majengo katika nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika.
Mojawapo ya majengo katika nyumba za ghorofa za NHC Shangani Apartments zilizopo katika eneo la Shangani mjini Mtwara, nyumba hizo zipo katika hatua za mwisho za kukamilika

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages