LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 1, 2015

RAIS KIKWETE, NAPE NA SUMAYE WAHANI MSIBA NYUMBANI KWA MAREHEMU JOHN KOMBA

 Rais Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha mabombolezo, alipofika nyumbani kwa familia na aliyekuwa Mbunge wa Mbinga na Mjumbe wa NEC ya CCM, Marehemu, Kampteni John  Komba , Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam, leo. Komba mefariki jana katika hospitali ya TMJ Dar es Salaam. Kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
 Rais Jakaya Kikwete akimsalimia mjane wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga, na Mjumbe wa NEC, CCM, Mkurugenzi wa Kikundi cha Sanaa cha Tanzania One Theatre TOT, Kampeni John Komba, Mwalimu, Salome Mwakangale, John Komba, alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwa marehemu Mbezi Tangi Bovu, Dar es Salaam.
 Rais Jakaya Kikwete akiwa na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye walipokuwa kuhani msiba, nyumbani kwa Kapteni Komba, Mbezi Mbeach, Dar es Salaam
 Nape akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa marehemu John Komba
Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye akimfariji mjane wa aliyekuwa mbunge wa Mbinga, na Mjumbe wa NEC, CCM, John Komba. Picha zote na Adam Mzee.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages