LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 25, 2015

WAZIRI MKUU PINDA AZINDUA MAABARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI IGOMELO MBARALI MBEYA



Waziri Mkuu Mheshimiwa  Mizengo  Pinda akimsikiliza kwa makini mmoja wa wanafunzi wa masomo ya sayansi kidato cha kwanza katika shule hiyo ya Igomelo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mbeya baada ya kuzindua rasmi maabara ya masomo ya sayansi katika shule hiyo Feb 24 mwaka huu.



Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda akipokelewa na  wananchi wa Halmashauri ya Mbarali mara baada ya kuzindua rasmi maabara ya masomo ya sayansi katika shule ya sekondari Igomelo Februari 24, 2015.
Wananchiwalio hudhuria hafla hiyo ya uzinduzi wa maabara
Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda akitoa salamu zake kwa wananchi waliohudhuria hafla hiyo.
Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Pinda akihutubia wananchi waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa maabara ya masomo ya sayansi katika shule ya sekondari Igomelo Wilayani Mbarali Mkoani mbeya Februari 24, 2015

Mbunge wa jimbo la Mbarali Dickson Kirufi
JAMIIMOJABLOG






No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages