LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 25, 2014

KINANA : CCM HAIWEZI KULAUMIWA KWA MAKOSA YASIYO YAKE


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara baada ya kupokea taarifa za chama na serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupasua mawe wakati wa ujenzi wa mradi wa maji Sengenya
 Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupanga mawewakati wa ujenzi wa bwawa la maji la Sengenya ambalo litasaidia vijiji vya Sengenya ,Mara na Nangarinje.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Daktari Mkuu wa Wilaya wilaya ya Nanyumbu Dkt. Ahmad Mhando ambapo Katibu Mkuu wa CCM alitembelea kituo hicho cha afya cha Mangaka.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiagana na  Daktari Mkuu wa Wilaya wilaya ya Nanyumbu Dkt. Ahmad Mhando baada ya kukagua  kituo hicho cha afya cha Mangaka
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia wakina Mama wakifyatua matofali kwa ajili ya ujenzi wa ofisi ya UWT wilaya ya Nanyumbu mkoa wa Mtwara
 Mbunge wa Jimbo la Nanyumbu Dunstan Daniel Mkapa akihutubia wakazi wa Mangaka mji ni na kuelezea utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM 2010.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mangaka wilaya ya Nanyumbu na kuwataka wananchi hao kujiandikisha kwenye madaftari ya wapiga kura .
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mangaka  wilaya ya Nanyumbu ambapo aliwaambia CCM ya sasa itakuwa kali kuliko wakati wowote na itaisimamia serikali na kuipongeza inapofanya vizuri na itakapofanya vibaya itasemwa.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika  Mangaka mjini wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipandisha bendera mara baada ya kufungua shina la wakereketwa Maneme wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara.
 Katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia daraja la Umoja lililopo mpakani na Tanzania.
 Daraja la Umoja.
 Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa NEC itikadi na Uenezi Nape Nnauye kutanzama daraja hilo linalounganisha nchi mbili za Tanzania mfumo.

 Shehena ya mbao zilizokamatwa ma TRA Mtambaswala
 Katibu Mkuu wa CCM akiondoka kwenye ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania zilizopo Mtambaswala
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wa CCM wa wilaya ya Nanyumbu wakikata utepe kuashiria kufunguliwa kwa jengo la ofisi ya CCM kijiji cha Chungu kata ya Nanyumbu.
 Katibu wa CCM mkoa wa Mtwara Ndugu Shaibu Akwilombe akiwasalimu wananchi wa kata ya Nanyumbu,wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara.
 Wananchi wakimfurahia kumuona mkuu wao mpya wa mkoa
 Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mh. Halima Dendego akiwasalimu wananchi wa kata ya Nanyumbu mkoani Mtwara
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman akimkabidhi kadi ya CCM Ndugu Yasin Seleman maarufu kwa jina la Msouth aliyekuwa mgombea wa nafasi ya uenyekiti kupitia Chadema.
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mtwara  Ndugu Mohamed Sinani akihutubia wakazi wa kata ya Nanyumbu kabla hajamkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kianana.

 Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wananchi wa kata ya Nanyumbu ambapo aliwaambia wananchi kuwa serikali lazima irahishe taratibu za kufanya biashara mpakani
Kila mtu anamsikiliza Kinana kwenye mikutano yake....

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages