LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 27, 2014

MAHAFALI YA PILI YA SHULE YA WAMA NAKAYAMA YAFANA NYAMISATI RUFIJI

001
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro (katikati ), akikata utepe akizindua zahanati kwa ajili ya matibabu ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani wakati mahafali ya pili yaliyofanyika Octoba 27,2014 (kulia), Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, na kushoto ni Kaimu Balozi wa Japan nchini, Kazuyoshi Matsu.
002
Wangeni waalikwa wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya kuunza kwa hafla hiyo.
003
004
Wageni wakiwa kwenye hafla hiyo.
005
Kutoka kushoto Kaimu Balozi wa Japan nchini, Kazuyoshi Matsu, WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro, Mke wa Rais Mama Salma Kikwete, Mwenyekiti wa bodi ya shule ya Wama Nakayama Dr. Ramadhan Dau, Naibu waziri wa Tamisemi.Kassim Majaliwa wakiimba wimbo wa Taifa uliondaliwa na wanafunzi wa shule ya WAMA Nakayama kabla ya kaanza hafla hiyo.
006
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto), akimtambulisha Mkuu wa kwanza wa Shule ya Sekondari ya WAMA Nakayama, Mama Hawa Mabrouk. iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani wakati mahafali ya pili yaliyofanyika Octoba 27,2014.
007
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa mahafali ya pili yaliyofanyika Oktoba 26,2014.
008
Bendi ya Mjomba Band Mrisho Mpoto ikitoa burudani wakatiti wa hafla hiyo.
009
Baadhi ya wahitimu wa elimu ya sekondari ya kidato cha nne kutoka katika Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira magumu ya WAMA Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani wakifurahia na jambo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati wa sherehe za mahafali ya pili yaliyofanyika Oktoba 26,2014.
0010
Baadhi ya wahitimu wa elimu ya sekondari ya kidato cha nne kutoka katika Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira magumu ya WAMA Nakayama iliyopo katika kijiji cha Nyamisati, wilayani Rufiji mkoani Pwani.wakiwa wamejipanga tayari kuelekea seemu maalumu iliondaliwa kwaajili ya kuagwa.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages