LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 23, 2014

KINANA AANZA ZIARA MKOA WA TANGA, AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA UHAI WA CHAMA WILAYA YA HANDENI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Mkuu waWilaya ya Handeni, Muhimngo Rweyemamu alipowasili wilayani humo, leo Septemba 23, 2014, kuanza ziara ya siku 11 mkoani Tanga. Katikati ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga, Hery Shekifu.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana kwa furaha na Mbunge wa Handeni,Abdallah Kigoda, alipowasili wilayani humo, leo Septemba 23, 2014, kuanza ziara ya siku 11 mkoani Tanga. Katikati ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga, Hery Shekifu.
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimsalimia mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani "Majimarefu" wakati wa mapokezi hayo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibvu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakiwasalimia wananchi wakati wa mapokezi hayo yaliyofanyika katika Kata ya Mkata, Handeni mkoa wa Tanga.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimia, wakati Kinana alipozungumza na wananchi wa Kata ya Mkata baada ya mapokezi na kuzinduzi wa mradi wa maji wa kata hiyo leo, Septemba 23, 2014. Kushoto ni Kinana, Shekifu na kulia ni Muhingi Rweyemamu na Dk. Abdallah Kigoda
 Kinana na Shekifu wakibadilishana mawazo wakati wa mkutano ulioambana na mapokezi hayo katika kata ya Mkata.
Kinana na Kigoda wakifurahia jambo wakati wa kikao cha mapokezi hayo wilayani Mkata mkoa wa Tanga.
 Kinana akizungumza na wananchi wakati wa mkutano ulioambatana na mapokezi nauzinduzi wa mradi wa maji wa Kata ya Mkata leo.
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akikagua mambomba ya mradi wa maji wa kata ya Mkata, leo Septemba 23, 2014. Pamoja naye ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye na Mbunge wa Handeni Dk. Abdallah Kigoda
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga, Henry Shekifu, wakishusha bomba, wakati wa uzinduzi wa mradi wa maji wa Kata ya Mkata.

 Kianana akitia zege kwenye ujenzi wa tanki la mradi wa maji Handeni mkoa wa Tanga
 Dk. Kigoda akisindilia zenge kwenye ujenzi wa tanki hilo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikagua ujenziwa maabara tatu kwenye shule ys sekondariKwaluguru,wilayani Handeni mkoa wa Tanga.
 Mbunge wa Handeni Abdallah Kigoda akimwaga zege kushiriki ujenzi wa maabala ya shule ya sekondari Kwaluguru, katika jimbo hilo leo, wakati Katibu Mkuu wa CCM Kinana akipokagua ujenzi wa maabara hizo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimia wazee alipowasili kwenye uzinduzi wa Ofisi ya CCM tawi la Kwenjugo, Handeni mkoa waTanga leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akizungumza na wananchi kabla ya uzinduzi wa tawi hilo la CCM Kwenjuu, Handeni.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa Ofisi ya CCM kata ya Kwenjugo, Handeni mkoa wa Tanga, leo, Septemba 23, 2014. Picha zote na Bashir Nkoromo-CCM Blog

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages