LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 21, 2013

KINANA AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI MORO MJINI ASUBUHI HII, KUFANYA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA JIONI

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wajumbe wa nyumba kumi wa CCM wilaya ya Morogoro mjini, asubuhi hii katika ukumbi wa VETA mkoani Morogoro. Wengine kulia ni Mbunge wa Morogoro mjini Mohammed Aziz Abood, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, Katibu wa CCM wilaya ya Moro mjini  Fukiri Juma na kulia (kushoto wa pili) Innocent Karogelesi
Wajumbe wa nyumba kumi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM, alipozungumza nao asubuhi hii kwenye ukumbi wa VETA mjini Morogoro.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages