LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 18, 2013

CCM YAFUNIKA KILOSA, MAMIA WAJITOKEZA KUMSIKILIA KINANA

Katibu Mkuu wa CCM,Abdulrahman Kinana (kulia) akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara leo jioni mjini Kilosa, mkoani Morogoro.
  Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisaini cha kitabu cha wageni kwenye Shina  la wajasiriamali wakereketwa wa CCM la Dinima, Kilosa katika ya kuwasili mjini Kilosa mkoani Morogoro kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara leo Aprili 17, 2-13.
Vijana wakisahngilia msafara wa Katibu Mkuu wa CCM, wakati msafara huo ukitoka Ifakara kwenda Kilosa  leo
Katibu Mkuu wa CCM, Kinana akizungumza na wanachama wa CCM shila namba 15, tawi la CCM Mbuni B, Kilosa. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi. Alyevaa miwani (kulia) ni Katibu wa NEC, Oganaizesheni, Dk. mhammed Seif Khatib.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nap Nnauye (kushoto) akimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) wakati amekaa na wajumbe wa shina  namba  15, tawi la CCM Mbuni B.
Viongozi kuanzia ngazi za mashina wa CCM katika wilaya ya Kilosa, wakizungumza na Kinana kwenye ukumbi wa Comfort, wilayani humo 
Katibu wa NEC, Oganaizesheni Mohamed Sif Khatib akitazama mahidi yalivyostawi kwenye shamba la mkulima maarufu wa wilayani Kilosa

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages